Tatizo la upungufu wanguvu za kiume linazidi kukuwa kila siku duniani
miongoni mwa wanandoa na wapenzi wengi hasa vijana.Hii kupelekea
wanawake wengi kutoenjoy tendo la ndoa kiukamilifu.Takwimu zinaonyesha
kila ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliwa
na tatizo hili na kila kwenye wanaume 6 kati 10 hulalamika kuwa na
tatizo hili.Hapa utakuta wengine wanawahi kufika kileleni,wengine
akimaliza round moja hawezi kurudia na wengine huchoka sana na kupata
maumivu baada ya tendo.sasa watu wengi sana wamekuwa hawatambui chanzo
cha tatizo hili kwasasa matokeo yake wamekuwa wakikimbilia sehem ambazo
wanafikiri ndizo salama wengine hujichua,wengine hutumia dawa zenye
kemikali ili kuweza tu kuwafurahisha
wapenzi wao kumbe ndo wanajiua
kabisaa.Kutokana na mabadiliko ya teknolojia,ulaji mbovu wa vyakula na
kutokufanya mazoezi ndio kumeleta matatizo haya.
FANYA HAYA KUEPUKA
1.Fanya mazoezi kima cha chini dk 20,we unakula vyakula vyenye kemikali
halafu kazi yako ni kutoka kwenye AC kazini unaingia kwenye AC ya gari
na mwisho kwenye feni nyumbani hutoki jasho unafikiri mzunguko wako wa
damu utakuwa sawa? lazima upate tatizo hili.
2.Epuka vyakula na vinywaji vyenye sukari kwa wingi
3.Epuka matumizi ya simu kwa muda mrefu au kugeuza sim nyuma ikiwa mfukoni.
4.Jenga tabia ya kutoa sumu mwilini kwani vyakula vingi tunakula vina sumu,naweza kukuelekeza vipi utoe sumu.
5.Epuka vyakula vyenye mafuta kwa wingi mfano chips.
6. Jenga tabia ya kuangalia mwili wako hasa tatizo la tezi dume.watu
wengi ambao wanalalamika nguvu za kime kila ninapowafanyia checkup ya
mwili mzima nawakuta na tatizo hili na ninapoondoa tatizo hili tu basi
hali yao inarudi kama zamani.
VYAKULA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME
1.Tikiti maji 2.Chaza na pweza 3.Parachichi 4.Vanila.
5.Tangawizi.6.Ndizi mbivu.Tumia vyakula hivi kwa wingi uwezavyo
vitakukinga na tatizo hili.
Tahadhari utumiaji wa dawa zenye
kemikali unaharibu hadi ubongo ni hatari kabisa ipo tiba halisi kabisa
isiyokuwa na madhara kwa mwili wako na tatizo linaondoka.
Kama
unaswali,unahitaji ushauri au tatizo lolote la kiafya usipate shida
niadd kama rafiki,nipigie sim au nifuate watsap kwa 0715448643 ni free
kabisa.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Ahsante jwa elimu hii hata kama mimi mwanamke lakini Nimejifunza. ..namba tatu kugeuza simu nyuma ikiwa mfukoni ...ni aje?
ReplyDeleteAhsante jwa elimu hii hata kama mimi mwanamke lakini Nimejifunza. ..namba tatu kugeuza simu nyuma ikiwa mfukoni ...ni aje?
ReplyDeleteUdah punya Asuransi belum? Pasti belum, iya kan. Yuk baca artikel berikut Asuransi Kendaraan MSIG, Berkendara Tanpa Cemas kali aja setelah baca artikel berikut langsung kepincut beli asuransi. Asuransi itu penting loh.
ReplyDelete